Alikiba:Unaweza Nichukia, Ukapenda Muziki Wangu

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa muziki hauna siri na muziki hauna tofauti kati ya mtu na mtu kwani unaweza kuwa una chuki na yeye lakini akiimba muziki mzuri ukapenda kazi yake na kuimba.

Alikiba alizidi kutoa ufafanuzi kuwa kama binadamu inawezekana ukatoa labda humpendi mtu fulani au msanii fulani kutokana na mambo yake lakini inapokuja kwenye muziki inakuwa tofauti maana msanii anapofanya wimbo mzuri, utajikuta tu unaimba wimbo ule kwa kuwa muziki una nguvu na haina mipaka, wala tofauti.

Alikiba alizidi kusema kuwa hata kama unaweza kuwa unamchukia mtu inafika wakati unasahau na kupotezea na maisha ya kawaida yanaendelea na kujikuta ule utofauti wenu umepotea

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Go straight 2 the point mr.man don't turn it round&round what i got it from your round &round explanation is you don't like your music rival Nasib(aka.Diamond)that's human in such business music coz you started the music carrier before him and you helped him one time and the boy made it real and he left you down on the drain but remember"TARGET ID ANYONE AIMING FOR THE SUCSESS"so keep it up hard without getting tired buddy and i'm sure you gonna make it possible don't you buckle&stumble wish you all the best&stay strong ALI KIBA

    ReplyDelete
  2. "Utaipenda" na Hussein Machozi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad