Maamuzi ya Brazil kwa Kocha wao Dunga Baada ya Kutolewa Copa America

Ni siku moja imepita toka timu ya taifa ya Brazil iondolewa katika michuano ya Copa America 2016 kwa kufungwa goli 1-0 na Peru. Brazil walifungwa goli dakika ya 75 na Raul Ruidiaz, goli ambalo linaaminika kufungwa kwa mkono kitu ambacho kilifanya refa achelewe kufanya maamuzi.

Jana June 14 2016 Brazil wametangaza maamuzi mapya ya kumfuta kazi kocha mkuu wa kikosi hicho Carlos Dunga, baada ya timu yao kutolewa mapema na timu iliyo nafasi ya 48 wakati wao wakiwa nafasi ya 7 katika viwango vya FIFA.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad