Mwimbaji Ray C Katika Hali Mbaya Tena..Adhalilika Kinondoni Polisi Wamchukua..Video

Hali ya Kiafya ya Ray C imeleta Sinto fahamu baada ya Video inayozunguka mitandaoni ikionyesha akichukuliwa na Polisi huku akisema kuwa wanamteka....

Shuhuda wa tukio hilo ameandika haya hapa chini:

Esha Buheti
"Nashindwa hata niongee nini jamani, rayc Leo kinondoni umenitoa machozi, jamani tufanye kitu tumsaidie rayc, I mean it jamani siku zote nlikua najua anaonewa ila nlichokishuhudia leoo nimeumiaa kutoka moyoni amedhalilika mwanamke mwenzetu, jamani tufanyeje? Nlikua na @kabulaflavour kino kwa wapemba tumefata chips mara tukaskia mtu anasema me rayc nataka kuvua nguoo, nikajua utani kushuka ni rayc anasema nishikenj kuna watu wanataka kuniteka, alikua na nguvu sana watu kamshika akaanza kuongea vitu havieleweki, akaanza kutafta kisu ajichome, watu walimzuia sana walishindwa akaaanza kugaragara kwenye matope akipiga KELELE kiukweli nilijikuta nalia mara ikaja gari YA polisi ikambeba ila kwa tabu sanaa alikua akipiga kelele jamani nisaidieni msiniache kiukweli mpk rayc anaondoka na ile gari yapolisi sikujua anapelekwa wapi alikua kama mtu alopata kichaa, YARRAB TUNAMSAIDIAJE RAYC?"

Tazama Video:

A video posted by Udaku Special (@udaku_special) on

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. DAH INAUMA SIAMINI!!! Duu

    ReplyDelete
  2. Huyu mtoto ndio basi tena kashapagawa. Kwenye kipindi cha mkasi aliongea vizuri sana. kumbeee danganya toto

    ReplyDelete
  3. Jamani msaidieni apelekwe hospitali ili afanyiwe uchunguzi.

    ReplyDelete
  4. inauma sana kuna mtu kamloga huyu mtoto

    ReplyDelete
  5. muacheni afe anajitakia mwenyewe mjinga sana

    ReplyDelete
  6. Huyo kusaidika ni ngumu. Wanaitajika wenye moyo, uvumilivu na akili ndo watamuweza. Ila kapoteza nafasi kubwa kwa familia, marafiki na maisha yake binafsi. Kingine wasanii wenzake wa kiume na wa kike wajifunze kwa hilo na kuacha matumizi ya madawa ya kulevya.

    ReplyDelete
  7. Inaumaaaa sanaaaaa jaman

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad