Ndoa ya Mwanamuziki Steve R n'B Chali..Mwenye Adai Hana Bahati...

Steve Rn'B akiwa na aliyekuwa mke wake.
Pia Steve amesema alifanikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yake na kusema ndoa ni kati ya watu wawili hivyo makubaliano ya kuachana yalikuja baina yao na pia itakapofikia wakati wa kurudiana wataamua wao.

Steve amesema anatarajia kuachia ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha Bell Nass na kusema ndani ya ngoma hiyo watu watarajie kupata ladha na ubunifu kama ilivyo kawaida yake akidai kuwa huwa hakosei anapoamua kuachia ngoma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad