Rais Zuma Aamrishwa Kurejesha Pesa za Umma Alizotumia Kukarabati Nyumba yake Binafsi

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameambiwa kuwa ni lazima alipe zaid ya dola nusu milioni pesa za umma, ambazo alitumia kukarabati nyumba yake.

Mahakama ya juu zaidi nchini Afrika Kusini imetaka wizara ya fedha, kutambua ikiwa ni kiaisi gasi Rais Zuma anasathili kurejesha kufutia uamuzi wa mapema mwaka huu kuwa alikuwa amekiuka katiba

Kumekuwa na wito wa kumtaka Raia Zuma ajiuzulu kutokana na sakata hiyo.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. One of the best country in Africa
    Democracy
    Love it love

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad