FAIZA Ally Amfungukia Mchumba Mpya wa Mh Sugu..Adai Anahonga Mashemeji na Mama Mkwe

Faiza Ally Kamfungukia Mrembo anayesemekana ndio mchumba wa Mh Mr Sugu Kwa Sasa Anaitwa Happy...
Soma Hapa:
Simpati Kwa lipi huyo happy - makengeza? Au Kwa sababu Ana Fany kazi biuro Au Kwa sababu Na baba Sasha wamefanana sura ? Simpati Kwa sababu kila wiki anatuma Mbeya Samaki? Simpati Kwa sababu Ana mfupi mweusi mbaya Au simpati Kwa sababu Ana tumia nguvu Na hela KWENYE mapenzi ? Au simpati Kwa sababu mweusi Ana vidole Kama tangawizi? Mkisema simpati mna maanisha nn hasa ? Au simpati Kwa sababu hazai ? Simpati kivipi labda tuwekane Sawa ! Siwaelewi ....? Nielewesheni? Au simpati Kwa sababu Ana honga mashemeji Na mama mkwe yaani kivipi sielewi? Haha nyie mnao SEMA simpati naombeni majibu simpati kivipi ? Au simpati Kwa sababu amenuna gari kasema kanunuliwa ? Siwaelewi simpati kivipi ? 
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mtoto unaitwa Faiz Bint Ali , halafu halafu unachezewa na Paka ?laana tu Llah 3alayki

    ReplyDelete
  2. Umepanic,yaani bado kidogo upate kichaa maana Sugu anakuuma sana tu.Pole weeee.

    ReplyDelete
  3. HAHAHAHA FAIZA ULIKUWA NA WAZO KUWA SUGU ANGERUDI KWAKO SIKU MOJA LAKINI WAPIIIII,NA NDIO MAANA KUTWA KUFATILIA MAMBO YAO.SASA KWA TAARIFA YAKO,HIVYOHIVYO,UFUPI,WEUSI,VIDOLE VYA TANGAWIZI NK NDIO VINAMNOGESHA SUGU.WEE ULIE TU.

    ReplyDelete
  4. Zabibu mbichi hizo?

    ReplyDelete
  5. Povu litakutokaaa mpaka...ukome hahahahahhahahahahahhaha

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad