No title

Irene Uwoya
Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Irene Uwoya ametoa kali ya mwaka kwa kusema kuwa, huwa hana mzuka wa kudumu na mpenzi mmoja kwa muda mrefu akidai kuwa, wakizoeana sana inakuwa kero kwake.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Uwoya alisema kuwa haoni sababu ya kukaa muda mrefu na mpenzi kwa sababu siyo baba yake wala mama yake na anapoamua kuchukua uamuzi wa kumuacha wala haumiagi.

“Yaani mimi kukaa muda na mwanaume sipendagi kabisa na sina mzuka huo kweli. Ndiyo maana mtu nikiamua kumbwaga anahaha na wengine watabembeleza weee lakini wala sina tabia ya kurudi nyuma, kwa kifupi sipendi kudumu na mpenzi,” alisema Uwoya aliyewahi kuwa kwenye uhusiano na wanaume mbalimbali kabla ya kuolewa na msakata kabumbu raia wa Rwanda, Hamad Ndikumana ambapo ndoa yao haikudumu.

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. A cheap stinking greedy good 4 nothing bitch nakupa tena 10 years tutaona hiyo jeuri yako ilipofikia kweli shule ni kitu muhimu sana kwetu sisi binadamu

    ReplyDelete
  2. Mwili c WA kwako? Utumie upendavyo hamna WA kukuzuia,ILA kumbuka huo mwili hauna spear...

    ReplyDelete
  3. Irene hupendi mapenzi ya kugandana wewe ni sinle lady.
    UNAMALIZANA LEO LEO TU.ALI KIBA Aliimba single boy
    .

    ReplyDelete
    Replies
    1. UMRI UNAKWENDA UTAKAPOTAKA KUGANDANA GUNDI HAITAWEZA TENA KUSHIKA

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad