Je Wajua Adhabu ya Kosa la Kukutwa Ukifanya Mapenzi ya Jinsia Moja? Kamanda wa Polisi Afunguka

Kamanda wa Polisi kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro aliesema:

’Hili kosa lipo muda mrefu, ukienda kwenye sheria za adhabu kwa nchi yetu kufanya mapenzi kinyume cha maumbile ni kosa la jinai na tumekuwa tukiwakamata watu‘

‘Kilichokuwa kinakosekana ni suala tu la taarifa lakini ukipatikana hukumu yake ni kubwa inategemea na hakimu, kama sikosei ni kuanzia miaka miaka mitano, sita mpaka saba jela, hili sio kosa la miezi miwili jela’ –Kamanda Simon Sirro

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yule dogo bado yuko nje??? Ni aibu, mpaka sasa alipaswa awe anaoza kaburini!

    ReplyDelete
  2. Jaribuni kuwaelimisha, na kutafuta sababu kwa nini inakuwa hivyo. Iran, wakikamatwa wananyongwa na winchi hadharani, na bado wapo kibao!!.. jela sio suluhisho la kumaliza usenge na usagaji..

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad