Mashamba ya Bangi yateketekezwa Tarime

Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani Tarime mkoani Mara imeendesha oparesheni kali na kufanikiwa kukamata mashamba makubwa ya zao la bangi ikiwemo bangi kavu ambayo tayari imeandaliwa kwa ajili ya kusafirishwa kwenda nchi jirani kwa ajili ya kuuzwa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad