Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Atumbuliwa Kwa Tuhuma za Malipo Hewa


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Rwegasira amemsimamisha kazi Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kufanya malipo hewa.

Mhasibu Mkuu huyo Frank Msaki amesimamishwa kazi kwa kufanya malipo ya kiasi cha sh. 305,820,000 kama posho ya chakula kwa watu ambao sio Askari Polisi.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad