MTU Mmoja Akamatwa na Kichwa cha MTU Baada ya Kufukua Kaburi na Kukikata


Katika tukio lililoshangaza watu wengi huko mkoani Mbeya, mwanaume mmoja amekamatwa na kichwa cha binadamu baada ya kufukua kaburi.

Inadaiwa alifikia maamuzi hayo ili aweze kufanikiwa katika biashara zake.....
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad