Picha: Shilole awatoa udenda mashabiki wake baada ya kuwapa nafasi ya kushika kiuno chake

Msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amewatoa udenda wakutosha mashabiki wa muziki wake hivi karibuni baada ya kuwapa nafasi ya kushika kiono chake.
prima

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.

Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha kufurahiwa na kitendo hicho.

Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.

Hata hivyo kitendo hicho kimewakasirisha baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiongea lake.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni wazi kuwa huyu Shilole hakulelewa vizuri na wazazi wake. Ni bora afungiwe asifanye show yoyote ile

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad