Rais Magufuli Kafanya Uteuzi Mwingine Leo July 17 2016

July 17 2016 headline kutoka Ikulu Dar es salaam ni pamoja na hii Rais John Pombe Magufuli kumteua Profesa Longinus Rutasitara kuwa makamu mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya usafiri wa anga (TCAA), Rutasitara anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Nyamajeje Weggoro ambaye muda wake umemalizika.

Pia Rais Magufuli amempandisha cheo kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Kedmon Mnubi kuwa kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP)

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad