Ufafanuzi kuhusu ile pikipiki iliyopakizwa kwenye basi la mwendokasi

Baada ya picha iliyosambaa ikionyesha pikipiki iliyokuwa ndani ya basi liendalo kwa haraka jijini Huu hapa ufafanuzi kama jambo hili linaruhusiwa.

Afisa habari wa UDART, Deus Bugaywa, ametoa ufafanuzi huo na kusema….

Tumefuatilia iliingia wapi? kwa sababu gani na mahali gani? tunadhani picha itakuwa imetengenezwa kwa sababu tumefuatilia kwenye vituo vyetu na ni jambo ambalo haliruhusiwi kabisa na hakuna namna kwamba utabeba pikipiki au baiskeli yako ya kawaida isyo ya mlemavu unasafirisha mle ni jambo ambalo haliwezekani kabisa’

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad