Wakurugenzi 3 Waliotumbuliwa MSD Warudishwa Kazini


Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD), yaamua kuwarudisha kazini Wakurugenzi 3 kati ya 4 waliosimamishwa kazi Februari 15.

Walikutwa hawana hatia kutoka kwenye tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinawakabili
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad