Wauguzi Manesi Waliosababisha Mama Mjamzito Akajifungulia Korido Watumbuliwa


SHINYANGA: Wauguzi wawili wa kituo cha Afya Lyabukande, wamesimamishwa kazi sababu ya uzembe uliosababisha mwanamke mjamzito kujifungulia kwenye korido.

Pia wamefunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kukiuka maadili ya utumishi. ..
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad