Juma Nature: Sifanyi collabo na Diamond mpaka..

Rapper mkongwe, Juma Nature amedai kuwa hawezi kufanya wimbo na Diamond mpaka pale dhamira yake ya kushindana naye jukwaani itakapo timia.

Mapema mwezi April mwaka huu Nature alikiambia kipindi cha Ladha 3600 cha EFM kuwa Diamond ndiye mpinzani wake pekee kwa sasa na hakuisema kwa ubaya.

Akiongea na Times FM msanii huyo amesema, “Collabo na Diamond bado mpaka tupambane tushindanishwe kwenye jukwaa moja nani mkali wa kupiga show ndio labda ifate collabo.”

Nature ameongeza kuwa mashabiki wasifikirie vibaya kuhusiana na kauli yake hiyo lengo lake ni kujenga ushindani wenye faida kati yao.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HA HA HA JUMA UMESAHAULIWA SASA UNATAKA UKUMBUKWE KAMA UPO!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad