UKAWA Wakubali Kurudi Bungeni Baada ya Mkutano na Viongozi wa Dini

Vyama vya CHADEMA, NCCR MAGEUZI, CUF na ACT Wazalendo ambavyo vilisusia vikao vya bunge vimekubali kurejea bungeni baada ya mkutano wao na viongozi wa dini hapo jana.
Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Byinyi ni wavivu na mkirudi basi muwajike, ipasavyo. na Posho zile mlizoingia mitini zimeshakula kwenu. na wala msituibie tena. Leteni hoja za kujenga na sivinginevyo.. anaerudi aoneshe uzalendo wa hali ya juu na awajibike ipasavyo na Ajiheshimu kabla ya kuheshimiwa na Lugha pia iwe ni ya busara na siyo ya kihuni au ya vichochoroni.. kama mlidhihirisha na kujidhihirisha hapo awali.. Tanzania yetu mpya inawahitaji waadilifu/waaminifu na wachapa kazi wenye usongo wa kujiletea maendeleo chini ya awamu yetu hii ya Tano ya Baba JPJM. utatia saini mahudhurio na utahudhuria kimwili na kiakili mpo !! Hapa Kazi tu,

    ReplyDelete
  2. Byinyi ni wavivu na mkirudi basi muwajike, ipasavyo. na Posho zile mlizoingia mitini zimeshakula kwenu. na wala msituibie tena. Leteni hoja za kujenga na sivinginevyo.. anaerudi aoneshe uzalendo wa hali ya juu na awajibike ipasavyo na Ajiheshimu kabla ya kuheshimiwa na Lugha pia iwe ni ya busara na siyo ya kihuni au ya vichochoroni.. kama mlidhihirisha na kujidhihirisha hapo awali.. Tanzania yetu mpya inawahitaji waadilifu/waaminifu na wachapa kazi wenye usongo wa kujiletea maendeleo chini ya awamu yetu hii ya Tano ya Baba JPJM. utatia saini mahudhurio na utahudhuria kimwili na kiakili mpo !! Hapa Kazi tu,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Pumbavu wewe
      Ndungai karudi mtu mwenye busara siyo lile kinda Kama wewe
      Fyuuuuuuhh
      Unanuka nenda kachambe

      Delete
  3. Pongezi kwa viongozi wa dini kusaidia kurejesha sauti za wananchi ktk mhimili wa bunge.

    ReplyDelete
  4. Hata msiporudi hakuna kitakacho haribika......who are you by the way!!!
    Na hata kama mkirudi hakuna jipya kwenu, kwani wakati mliposusa kuna kitu gani kilichopungua?? Bunge liliendelea kama-kawa, miswada ilipita, bajeti zimepita etc. etc. Aibu yenu tu hamna lolote......muheshimiwa Mrema aliwapa kweli yenu kwamba anayesusa ni MWANAMKE.......mnasingizia viongozi wa dini, mbona hilo la kuvunja ukuta mmelikataa......nyie shikeni ukuta, lakini msisahau VILAINISHI.....HAPA KAZI TU!

    ReplyDelete
  5. lazima warudi ,posho watapata wapi.mbona wamekubari kurudi haraka chezea posho wewe,mugomo waliofanya walikosa uungwaji mkono sababu za kijinga kabisa.lini ulisikia vikao vinafanyika ,

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad