Bifu la Diamond na Ali Kiba Halipo Tena..Picha ya Kwanza Wakiwa Pamoja Wakirekodi Yavuja

Diamond vs Ali Kiba Beef has end, Finally your Number one website of Tanzania  website has Captured a Photo of Two finest Bongo Flavor  from Tanzania Ali vs Diamond are on the same Studio Recording their Hit Song, is this Means that their Beef and Mis Understanding has become to an end so that they can finally remove their Difference? let us wait and See, i cant wait for this collaboration of Diamond Platinum vs Ali kiba!!!!!!
Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. bifu ys nini? hawa jamaa walikuwa hawana bifu, ila domo baada yakuona anamafanikio akaanza ringa na kuonyesha utoto, Ali alikuwa hana bifu nae, lakini safi hongereni vijana!

    ReplyDelete
  2. Mwandishu nani alikudanganya unajua kiingereza. Unatia aibu watz kwa hiyo broken english. Wakenya au Waganda wanaposoma hii article yako watakauka kwa kucheka ubovu wa kiingereza ulichoandika. Tumia kiswahili tu ndugu yangu mpaka hapo utakapopata shahada ya British Counsel

    ReplyDelete
  3. Msikuze mambo bifu halituhusu
    Tunapenda sauti zao na nyimbo zao

    ReplyDelete
  4. By the way,,,u guys news media and news presenter your the one who created the biff,,plus stupid funs but kiba and nasibu they have been cool for long time.

    ReplyDelete
  5. Nakuunga mkono mdau

    ReplyDelete
  6. Beef 😂😂😂

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad