Janga Kubwa Linalowatafuna Wasomi Wengi Tanzania ni Kutegemea vyeti Kama Mkombozi wao Kiuchumi

Janga kubwa linalowatafuna wasomi wengi ni kutegemea vyeti kama mkombozi wao kiuchumi; badala ya kutegemea uwezo wao kiakili. Ndio maana wakikosa ajira wanachanganyikiwa na wakiwa ajirani wanachanganyikiwa zaidi kwa mishahara isiyotosha kutimiza ndoto zao. Ukienda shule nenda kwa mtazamo wa kupata maarifa ambayo hata kama vyeti vitakuwa kabatini; yatakufanikisha.

#SmartMind
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad