Ndege Mpya Ziwe Mali ya Serikali, ATCL Wakodishwe tu..Wakishindwa Kazi Wanyang'anywe

Ili kuhakikisha hizi ndege zinakuwa katika hali bora na kutumika ipasavyo nashauri hizi ndege ziwe mali ya serikali, ATCL wakodishwe na wakishindwa kulipia wanyang'anywe. Hii pia itasaidia mashirika mengine kuzikodi na kuongeza ufanisi wa shughuli zao. Tukifanya hivyo hata fastjet badala ya kuleta ndege zingine wanaweza kodi hizihizi, hivyohivyo kwa Precision air. pia tunaweza zikodisha hata mashirika ya nje na mashirika ya umoja wa mataifa.

Pili, hii itasaidia hizi ndege kutokuzongwa na madeni ya nyuma ya ATCL na kutumika kwa fedha kinyume ma matarajio, pia hii itasaidia ATCL kumia vizuri faida wanayopata baada ya kutoa gharama za ukodishaji.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. angesubiri akanunua ndege kubwa km tunazoziona nchi jirani za africa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad