Staa wa Bongo Movie Irene uwoya Adaiwa Kuzaa Mtoto Ambaye Hajafanana na Baba yake

September 02  2016 kwenye U Heard ya Soudy Brown amezungumza na  staa wa Bongo Movie Iren Uwoya kuhusu taarifa zilizosambaa kwenye mitandao kuwa mtoto aliyemzaa si wa mume  wake Ndikumana kwa kuwa hajafanana naye, millardayo.com imekuwekea full stori.

Bonyeza Play hapa chini kusikiliza:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad