Ufafanuzi wa ACT- Wazalendo Kuhusu Taarifa ya Pro Lipumba Kujiunga na Chama Hicho

Baada ya kumalizika kikao cha kamati kuu ya Chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika leo septemba 05/2016 jijini Dar esSalaam

Kesho Jumanne Septemba 06/2016,Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo watakutana na waandishi wa habari na kuelezea masuala mbali mbali muhimu yanayoendelea sasa ikiwemo:
• Hali ya Uchumi wa Taifa
• Hali ya Kisiasa ya Taifa
• Hatari ya Kuvunjika Kwa Umoja wa Kitaifa

Wapi:Makao Makuu ya ACT wazalendo yaliyopo Sayansi Kijitonyama jirani na Kanisa la KKKT

Muda:Saa tano kamili asubuhi (11:00am)

Kuhusu taaarifa zilizosambaa za Prof. Lipumba kujiunga na chama hicho, ACT- Wazalendo wamesema kuwa hawana taarifa yoyote ya Prof. Lipumba kujiunga na chama hicho na pia kikao cha leo hakihusiani na ajenda yoyote ya kupokea wanachama.

Muhimu kuzingatia muda

Abdallah Khamis
Afisa Habari
0655549154
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad