Ujenzi wa Daraja la Salender kuanza 2017 na Kukamilika Mwaka 2020

Rais John Magufuli amekutana na balozi wa Korea Kusini Ikulu Dar, Rais amesema kampuni ya Kikorea inayofanya Designing ipo hatua za mwisho na itatangaza tenda hivi karibuni na ujenzi wake unatarajia kuanza mwezi wa Juni 2017.

Daraja hilo litakuwa na urefu wa km 7 na km 1,4 zitajuwa ndani ya bahari kusaidia kupunguza foleni fedha hizo zimetolewa na Exim ya Korea Kusini
Magufuli pia ameema ana mpango wa kumteua balozi akaiwakilishe Tanzania Korea Kusini kwa kuwa ni marafiki.

Pia wamezungumzia ujenzi wa meli mpya ziwa Victoria ambapo wakorea hao watawatuma watalaamu wao kufanya ukaguzi, ujenzi wa meli upo kwenye bajeti ya serikali.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Curious. What exactly is the correct name of the bridge?
    Is it SEA-LANDER,SALENDER, SURRENDER, SALENDA or SIR-LANDER? There is gotta be some bridge name some how

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad