Amber Lulu na Gigy Money Hapatoshi..Amber Adai Gigy Money Ana Fangasi Sugu

Baada ya tetesi kuwa Mrembo Amber Lulu amekatwa Arusha na Madawa ya kulevya Gigy Money alihojiwa na Soudbrown kwenye U Heard na Kuongea maneno ambayo hayakumfurahisha Amber lulu...Sasa Amber Lulu Ameibuka huko alipo na kuandika haya:

"Muda ambao unaangaika kutafuta kiki ungekuwa unajifunza kuosha k na kutibu izo fangasi suguu ulizo nazo @gigy_money don't compare with me iz levels chokoraaaa paka la ambiance stay away from me"

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wote hawa wanatafuta kiki kwa njia ya kiajabu sana, msitusumbue

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad