Crazy GK Adai Kweli Alikiba ni Mfalme wa Mziki....

Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia vilivo, ametumia muda huo kuongelea wimbo wa AJE kwa kusema kua ni wimbo ambao hauchuji haraka kama wengine, pia amesema kua wimbo wa AJE kila siku ukiutizama na kuusikiliza unagundua kitu kipya tofauti na ulichoona au kusikiliza jana.

Hongera mfalme Kiba kwa kutoa nyimbo zisizochuja haraka kama wale pia kupongezwa na wanamziki wakongwe wanaojua historia ya mziki wa bongo na walio kwenye mziki muda mrefu kama GK.


Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. thats very true 100% he is he really is Thats why he is called KING KIBA sauti ya kipeke

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad