Diamond Awapiga Clouds Kijembe Cha Kiutu Uzima

Katika kipindi cha D'wikend chat show cha clouds TV, ameulizwa " Meneja wako Sallam analalamikiwa yupo too hasrh and over protective to you. Unalizungumziaje?". Amejibu " Sallam yupo kwa ajili ya kulinda brand...kuna watu ukishakuwa na jina wa nataka wakutumia wakitumie bure halafu ukishuka wanakuacha wanafuata MTU mwqingine na mifano IPO..."Amerudia sentensi hiyo mara mbili. Kwa maoni yangu .Hili ni dongo la kiutu uzima kwa Clouds na Ruge

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dongo kwa Clouds kivipi, hebu tufafanulie kwa mifano hai

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad