JE Ni Sahihi Kumlazimisha Mwanaume Akuoe?

Habari zenu,

Hivi ni sahihi pale uko na mpenzi wako yapita mwaka, miaka ajawahi kukuambia kuhusu ndoa au labda alikuhaidi kuja nyumbani lakini siku zayoyoma hakuna matokea yoyote je, ni sahihi kumlazimisha akuoe au huyu yupo kwa ajili ya kupotezeana muda tu?

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad