Povu Lamtoka Nuh Mziwanda Akimtetea Ali Kiba...Adai Ana Roho Nzuri

Nuh Mziwanda Ametetea uamuzi wake wakumpigia promo Ali Kiba Kwenye page yake ya Instagram ili watu wamvotie ashinde tuzo...

Ameandika Haya hapa kuwalengo wote wanaomponda:

Iam_mziwanda
"Eeeeh bana nasemaje nasaport anaenisaport msinipangie mana inaeezekana hamjui wema wa jamaa kwangu 'mchizi yupo na roho ya kusema SAWA haijalishi upo kwenye wadhifa gani katika muziki na ndio mana collabo zake nyingi anapiga na wasanii wachanga 'I salute u Ali n plz let us keep on voting to him Heshima irudi nyumbani"

Neno Moja Kwa Nuh Mziwanda

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad