Baraka Asema Watu Hawajui Yeye na Ali Kiba Walipitoka..Achukia Kuitwa Chawa wa Alikiba


Mkali wa Bongo fleva Baraka Da Prince amewapa makavu mashabiki ambao wanamsakama kwa kumwambia yeye ni mfuasi wa Alikiba.

Akiongea na Perfect255 @barakahtheprince_ amedai kuwa watu hawajui yeye na @officialalikiba wametoka wapi na ni jinsi gani wanaishi kiasi kwamba wanakuwa karibu kiasi hicho.
.
“Alikiba ni miongoni mwa wasanii ambao ni Role Model wangu, Alikiba ni msanii ambaye ameni inspire mimi katika muziki wangu kwahiyo mimi hata kuimba nyimbo yake sioni kama ni kitu cha ajabu. Na ukizingatia ni mtu ambaye nafanya nae kazi katika record label moja kwahiyo ni brother ambaye muda mwingi nipo naye. Ninapo mpresent pale ambapo yeye hayupo sioni kama ni ajabu kwasababu sometimes mimi naenda kwenye show nakutana na fans wa Kiba, kwahiyo nikipiga ngoma yake hata moja inakuwa ni poa.” alisema #Barakah
#letitshine
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad