Darassa Ajigamba Adai Muziki Wake Hauwezi Kuchuja


Rapper Darassa amedai kuwa muziki anaofanya ni wa kuishi milele ndio maana nyimbo zake haziwezi kuchuja.

Akiongea na Times FM, Darassa amesema, “Natengeneza muziki wa kuishi milele, ndio maana ‘Utanipenda’ na ‘Too Much’ hazichuji.”

Kwa sasa Darassa ni mmoja kati ya rapper wa kizazi kipya ambao wanafanya vizuri huku wimbo wake aliouachia siku chache zilizopita ‘Muziki’ aliomshirikisha Ben Pol ukionekana kufanya vizuri kwenye vituo mbalimbali vya redio na runinga.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad