Kila Kona ni Maumivu

Uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano kubana matumizi, kudhibiti ukusanyaji kodi, kuondoa upendeleo wa zabuni na kuzuia shughuli za Serikali kufanyika katika hoteli umeibua kilio kwa makundi tisa ambayo masilahi yake yameguswa moja kwa moja.

Baadhi ya makundi hayo ni ya wafanyabiashara, wanafunzi wa vyuo, wanasiasa, wabunge, watumishi wa umma, vyombo vya habari, wanawake na waathirika wa bomoabomoa eneo la Bonde la Msimbazi.

Katika makundi hayo, yapo yaliyojikuta katika maumivu kutokana na nia njema ya Serikali kuboresha mfumo wa ukusanyaji kodi, kudhibiti mianya ya rushwa na matumizi yasiyokuwa ya lazima lakini yapo yanayolia maumivu kutokana na makosa katika uamuzi usiozingatia sheria na kusababisha athari kubwa katika mfumo mzima wa maisha.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad