Ma Rapper 6 wa Kike Bongo Kuonyeshana nani zaidi Kwenye Wimbo Mmoja Uliyotayarishwa na Producer Nahreel....

Marapa 6 wa Kike Bongo Wameamua kuungana na kutoa wimbo mmoja kwapamoja, Marapa hao ni Stosh, Cindy Rulz, Rosa Ree, Chemical, Pink na Tammy wataonyeshana nani zaidi ya mwenzake  kwenye ngoma ya pamoja iitwayo ‘Hola Hola’ iliyotayarishwa na Nahreel

Wimbo huo uliopo kwenye mradi uliopewa jina Dada Hood utatoka Jumatano hii. Mtangazaji wa Clouds FM, Mamy Baby anahusika kusimamia Mradi Huo


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad