Mbunge Godbless Lema Aendelea Kusota Gerezani...Akosa Dhamana


ARUSHA: Mahakama Kuu yamnyima Mbunge Lema dhamana arudishwa gerezani. Yawataka Mawakili wake warudishe kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi.

Lema amesota rumande tangu alipokamatwa Novemba 3, 2016 akiwa mkoani Dodoma na kusafirishwa hadi Arusha ambapo anashtakiwa kwa kosa la uchochezi dhidi ya Rais Magufuli.

Mawakili wake wakiongozwa na Peter Kibatala wamesema wanakata rufaa ndani ya muda wa masaa mawili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad