MTV Base south Africa, Imetaja List ya Marapa 10 wakali Kutoka Bongo Waliotisha zaidi Kwa Mwaka 2016.

Sasa Luninga ya MTV Base south Africa, imetaja list ya marapa 10 wakali waliotisha zaidi kwa mwaka 2016.

Namba moja wamempatia rapa Fareed ‘Fid q’ Kubanda kutokea Mkoani Mwanza, Itazame list nzima hapo chini then tuachie maoni yako,

#BongoHipHop |Tanzania| #TZHottestMCs 2016

1.Fid Q
2.John Makini
3.AY
4.Mwana FA
 5.ROMA
6.Mr. Blue
7.Nikki Wa Pili
8.G Nako
9.Prof Jay
10.Chindo Man
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad