USHAURI Kutoka Kwa Nikk wa Pili Kwa Mnao Ogopa Kuingia Kwenye Ndoa.....


FROM nikkwapili - He he me sio mshauri..wanao ni Dm...kuuliza abt ndoa (marriage)....this is what i think...kuhusu ndoa....ndoa baada ya muda wengi huona kama kifungo, kikwazo cha kumkosa msichana yule, au jamaa yule, au bata lile na kadhalika......hapa wana miss the point.....kumbuka ukiwa shule ukaambiwa soma....na uachane na mambo kama starehe, movies nakadhalika...na leo kitabu kina kunakufaisha na wengi walio babaishwa na mambo mengine wanajuta......sasa ni sawa na ndoa....ndoa sio jela..ndoa ni taasisi muhimu itakayo kulinda thidi ya tamaa za ngono, starehe,.....na kukufanya uwekeze kwenye vitu vya maana future, kazi, biashara nakadhalika.......so kama shule ilivyokuwaga na changamoto za mitihani, fimbo, usingizi, ugumu wa bording ukavumilia na leo unakula matunda....sawa na ndoa nayo inachangamoto lakini ukivumilia matunda utayala mema sana sana........so wengi wanao zingua katika ndoa nikwakuwa wameshinda kuelewa hii dhana....na mwishowe huaribu maisha yao, wenzao wao na watoto....yani huwa kama wale waliokataa shule
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad