Waziri Mahiga: Mkataba Kusaka Walioficha Mabilioni Uswisi Wasainiwa Tanzania

Serikali ya Tanzania na Uswisi zimesaini Mkataba utakaowawezesha Makachero wa Tanzania kwenda nchini Uswisi na kufanya uchunguzi katika mabenki ya huko ili kupata taarifa sahihi za walioficha mabilioni toka Tanzania.

Mkataba huo umesainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr Augustine Mahiga na Balozi wa Uswisi nchini Florence Mattli.

Hata hii ni moja ya hatua muhimu ya Serikali awamu ya tano katika kudhibiti matumizi mabaya ya madaraka na fedha za umma.
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. TARATIBU NDO MWENDO, HATA HAYO MAKABURI YALIYOBAKI YATAFUKULIWA TU

    ReplyDelete
  2. DANGANYA TOTO HIYO TUMEISHAIZOEA

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad