BINTI Mtanzania Aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa Kwa Kazi ya Siku 1

Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini Marekani akiwa ni Mwanamitindo mwenye umri mdogo lakini amepiga hatua kubwa kwenye kazi ya Uwanamitindo, bonyeza play kufahamu zaidi. 
 VIDEO:
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HONGERA SANA HERIETH. TIVII ZA TANZANIA ZIKO WAPI MBONA HAMJATUONYESHA MAONYESHO HAYO IKIZINGATIWA KUNA MTANZANIA???????????HATA KWA KIPANDE KIDOGO TU ALICHOONYESHA HERIETH??

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad