CHATU Afa Baada ya Kumeza Mbwa

CHATU aliyemeza mbwa mkubwa katika Jimbo la Warri nchini Nigeria, majuzi alikufa baada ya tumbo lake kuvimba kupita kiasi na kupasuka wakati anataka kupita katika senge’nge kwenye fensi.

iSenge’nge hizo zilimnasa tumboni na kusabisha lipasuke na akafa hapohapo.

Mashuhuda aliyepiga picha tukio hilo aliziweka picha zake katika mitandao ya kijamii kama onyo kwa watu wenye tamaa za kupata fedha kuliko mahitaji yako ya kawaida.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad