
MAREKANI: Donald Trump ametangaza nia ya kusitisha uagizaji wa ndege 2 mpya za Rais(Air Force One). Adai bei iko juu na huenda imezidishwa.
Ndege hizo ambazo gharama zake ni takribani dola za Marekani bilioni 4 zinatengenezwa na Shirika la Uundaji wa ndege la Boeing.
Trump amesema anahisi bei imezidishwa na shirika hilo linataka kuzidisha faida isivyo halali