DONALD Trump Ashtukia Mchezo Mchafu Unaotaka Kufanywa na Boeing Ununuzi wa Ndege ya Rais


MAREKANI: Donald Trump ametangaza nia ya kusitisha uagizaji wa ndege 2 mpya za Rais(Air Force One). Adai bei iko juu na huenda imezidishwa.

Ndege hizo ambazo gharama zake ni takribani dola za Marekani bilioni 4 zinatengenezwa na Shirika la Uundaji wa ndege la Boeing.

Trump amesema anahisi bei imezidishwa na shirika hilo linataka kuzidisha faida isivyo halali

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad