LEMUTUZ Amchana Darasa...Ashangaa Kusikia Anasafari kwa Gari Badala ya Ndege


lemutuz_nation - LIVE STRAIGHT TALK:- Nilikuwa nasubiri baada ya ajali kwako @darassacmg najua now umepona upo sawa pamoja na kushitushwa na ajali lakini la msingi nimeshitushwa na jinsi ulivyopata ajali please sikutegemea at this stage unapopiga "WIMBO WA TAIFA" bado utaendelea kusafiri kwenye level ambazo hata mimi SOCIAL MEDIA KING nilishazipita that was a shock to me nilidhani huu ni wakati wako wa kusafirina Airbus mpaka Mwanza halafu promoters wanakukodia ndege kutoka Mwanza mpaka Kahama ukiwa na kundi la angalau watu 5 ....please kaa chini jitathmin tena enzi za Show za Vichochoroni zimeisha now it is your time kataa pesa ndogo upate kubwa huwa inaiuma sana kukataa Dola 2,000 but bila kukataa hutapata pesa kubwa na perks kubwa muamuzi ni wewe sio wanaokuzunguka nakuhakikishia kwa Miungu yangu yote wewe sasa ni wa Tsh. 15M mpaka 20M per Show ....halafu management yako inatakiwa kupigana sana kufufua miziki yako ya zamani ambayo haiku hit lakini ni mikali sana nafasi ni sasa hairudii mara mbili ikiisha imetoka pigana upate CASH CAUSE CASH IS THE KING ....anayekutaka sasa ni lazima akulipie ndege wachana na safari za magari madogo na ikibidi kama sehemu ina pesa lakini ni mbovu waachie pesa yao linda heshima ya jina lako ....niliwahi kuitwa kikazi Lindi nikakataa kwa sababu hakuna ndege Airbus na hamna Five Star Hotel nikakataa Mahela yao mengi U know so please jifunze how to play the next level game you have the juice sasa hivi kuna mahela kibao ya Kolabo unachohitaji ni Super Management ni ushauri wa bure tu na kwa nia njema sana unapotuona sisi kila wakati tunarusha picha tukiwa kwenye ndege na mahoteli makubwa kuna wanaodhani tunajiringishia tu na ujiko kumbe usichokijua ni huwa tunatuma ujumbe kwa wanaotuhitaji kibiashara kwamba itakugharimu like this hahahahaha....Darassa muziki in you hauozi kama hawataki kulipa usipige tu lakini usikubali kufa masikini na huku umepiga "WIMBO WA TAIFA"! - le Mutuz Nation
Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Maisha ni sasa,tengeneza maisha ya baadae sasa kwa kuwa hujui kesho itakuwaje.Inawezekana kuna kitu anafanya kwa maisha ya baadae ndio maana anajaribu kujibana na kusafari kwa gari na sio ndege.Kaka Le-mutuz pamoja na sifa zote ulizomwaga lakini inasikitisha huna hata nyumba,Ni sifa kuonekana unabadilisha magari lakini humiliki nyumba?Darasa big up,usifuate ya Lemuuz.

    ReplyDelete
  2. PENGINE HAPENDI KUPANDA NDEGE AU NDIO ILE DHANA YA MAISHA NI MPANGILIO,NI KARATA NA KWAMBA INATEGEMEA UNAZICHEZAJE.KUNA
    WALIOKUWA WANASAFIRI KWA BOTI KWENDA ZANZIRAR SASA HIVI WANAPANDA NDEGE,LAKINI NI BAADA YA KUWEKEZA VITU MUHIMU,NA NDIO AKILI.
    DARASA NAE ANA AKILI YAKE.

    ReplyDelete
  3. Muache afane anachoweza kwa uwezo wake msimfosi awe nyie wakat ye ni yeye atasafiri na kulala anapopenda yeye...na kula anachotaka yeye..

    ReplyDelete
  4. le mburulaz ulikataa kwenda lindi sababu hakukua na ndege ya airbus wala 5 star hotel?you just full of shit lemburalz,kwa lipi hasa mtu akulipie 5 star hotel?

    ReplyDelete
  5. Huyu la-michuzi hatakiwa kujifananisha na watu wanaotafuta maisha bila ya kuwa n.a. vigogo nyuma yao, yeye akitaka kitu anatumia ubini wa malecela(waziri mkuu) halafu anakunaja kwenye mitandao kujifanya mjuaji huna lolote Kula kulala wee

    ReplyDelete
  6. Hv lemutuz ndo nani vile....

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad