MWASITI Anyang'anywa Benzi Alilokuwa Akiendesha, Mwenyewe Azungumza

Msanii mkali toka THT Mwasiti Almasi yasemekana amenyang'anywa Benz alilokuwa akitamba nalo hapa mjini baada ya kutoonekana nalo kwa muda
Akihojiwa kuhusu swala hilo amesema yeye huwa haongelei maswala yake binafsi ila baada ya kubanwa sana akasema aliyemhonga amelichukua

 VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad