MWENYEKITI wa UVCCM Aliyeshitakiwa Kwa Kughushi Kitambulisho Cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Arusha ameachiwa huru baada ya Jamhuri kusema hawana nia kuendelea na kesi hiyo, Mwenyekiti huyo wa UVCC alidaiwa kughushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa.

Jeshi la Polisi Mkoani humo lilimkamata mnamo Septemba 2017 Mwenyekiti huyo wa UVCCM Mkoa ndugu Lengai Ole Sabaya kwa tuhuma za kughushi nyaraka mbali mbali za serikali (vikiwepo vitambulisho vya Idara ya Usalama wa Taifa ). VIDEO:
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad