PAUL Pogba Aonyesha Uwezo Kupiga Michano Kama Msanii Darassa

Kwa sasa hivi ngoma inayofanya vizuri kwenye hiphop ni Muziki wa Darassa. Wiki iliyopita nilikupa story ya kwanini Darasa alimtaja footballer Mbwana Samatta kwenye ngoma yake.

Leo hii namfananisha Pogba akiwa anachana kwenye beat kali kama vile alivyofanikiwa msanii Darasa kufunga mwaka na ngoma kali.

Sasa naomba uangalie uwezo wa Paul Pogba alivyodondoka na beat hii na uniambie uwezo wake unaonaje. Video hii ilirekodiwa wakati wapo kwenye michuano ya Euro jijini Paris. Hapo alikua na mshkaji wake Antoine Griezmann.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad