UJAMBAZI FNB Bank, Dada Mrembo Adakwa Kwa Ujambazi

Wakuu hii kitu inazunguka sana kwenye "social media",kuwa huyu dada alikuwa mfanyakazi wa FNB,alifukuzwa na baadae kaamua kuingia kwenye mtandao wa majambazi uliotengeneza mchoro kwa kwenda kuiba kwenye bank hiyo.

Mchoro wake uligonga mwamba,na hatimaye polisi kuwathibiti.Binti anaonekana mrembo,mwenye haiba lkn yamemshinda na kuamua kujiripua kwa kuvamia bank....HATARI SANAAAA


VIDEO: TUNDU LISSU ASOMA MESEJI ZA VITISHO ALIZOTUMIWA SAANANE KABLA YA KUPOTEA 

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad