Alikiba aanza mwaka mpya na Tour za Kimataifa

Mkali wa wimbo Aje na mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa EATV Award 2016, Alikiba amefungua mwaka kwa kutangaza tour yake ya kimataifa.

Muimbaji huyo ambaye mwaka 2016 ulikuwa mzuri kwa upande wake baada ya kuchukua tuzo 13 za kitaifa na kimataifa, tour yake itaanza February nchini Afrika Kusini.

“Happy New Year. It’s time to meet my fans across the world. I start with South Africa in February 2017! . KING KIBA LIVE ON TOUR IN SOUTH AFRICA. Contact Exclusive Agent & PR @matthewmensah for additional bookings & endorsements in SA/Southern Africa. #MTVEMABestAfricanAct#AlikibaSATour2K17#KingKibaWorldTour2K17 #KingKiba,” aliandika Alikiba kupitia facebook yake.

Muimbaji huyo hivi karibuni alifanya show ya funga mwaka nchini Uganda, show ambao ilidaiwa kuweka historia nchini humo kutokana na kuhudhuriwa na watu wengi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad