Asuswa na Wazazi kwa Kuwa na Mahusiano na Kijana Mweusi ..!!!


Mwanafunzi mmoja Allie Dowdl (18) amechangisha zaidi ya dola 10,000 kupitia mchango wa raia baada ya kudai kwamba wazazi wake walikata uhusiano na yeye kwa kuwa na mpenzi ambaye ni mweusi aliyetambulika kwa jina la Michael Swift.

mweusi1Allie Dowdle
Allie Dowdle amesema wazazi wake walikataa kumpatia fedha kwa sababu hawakupenda uhusiano wake na kijana huyo mweusi.
mweusi2Akiandika katika ukurasa wake wa GoFundMe, Allie alisema: Nikiwa na umri wa miaka 18 wazazi wangu wamekataa kunifadhili katika maisha yangu ya baadaye, na kunipokonya raslimali zangu zote.

Baba’ke msichana huyo hata hivyo amekana kwamba sababu ya kukata uhusiano huo ni ile ya ubaguzi wa rangi.
mweusi3Allie anasema kuwa yeye na Michael Swift wamekuwa katika husiano wa kimapenzi kwa takribani mwaka mmoja baada ya kuwaelezea wazazi wake lakini swala hilo likazuka tena baada ya Michael kukutana na wazazi wake msichana huyo.

Anadai kwamba baada ya mkutano huo wazazi wake walimtenga na sasa hawezi kupata fedha alizohifadhiwa, gari, simu na hawezi kulipia masomo yake.
mweusi4”Babangu hakunipa sababu nyingine, aliniambia kwamba siruhusiwi kumuona Michael tena”, alisema. Kwa nini? kwa sababu ya rangi ya ngozi yake.

”Sitasahau vile wazazi wangu walivyonikaripia walipoelezea vile walivyokasirishwa nami kwamba ningeweza kutafuta mtu 

Download Application ya Udaku Special Blog Kwa Kubonyeza Hapa

mwengine mzuri zaidi”.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad