Baada ya Soulja Boy Kumpata Mwalimu Mayweather, 50 Cent Amvuta Mike Tyson Kumtrain Chris Brown


BAADA YA SOULJA BOY KUMPATA MWALIMU
MAYWEATHER, 50 CENT AMVUTA MIKE TYSON
KWA AJILI YA KUMTRAIN CHRIS BROWN

It’s going down for real, pambano la ngumi kati ya Chris Brown na Soulja Boy linazidi kuwashawishi watu maarufu kibao, Sasa ni zamu ya Mike Tyson.

Baada ya Soulja Boy kuthibitisha kwamba trainer wake ni Floyd Mayweather, 50 Cent ameamua kumsaidia Chris Brown kwa kumvuta Mike Tyson kwa ajili ya kumtrain Breezy.

Kupitia kurasa ya Instagram ya 50 Cent ameposti vipande vya clip akiongelea kuhusu pambano hilo la Chris Brown na Soulja Boy kwa kusema kwamba, ‘“Floyd is supposed to be training him, but I kind of feel like Floyd want to train him and shit so he can beat me, How you gonna train this nia, all of a sudden? You is the promoter. You ain’t supposed to be training the fighter…But since he got Floyd Mayweather, I just got off the phone with Iron Mike Tyson. Iron Mike is gonna train Chris Brown.”

50 Cent hakuishia hapo akatusibitishia maongezi yake na Mike Tyson ambapo Mike Tyson alifunguka nakusema kwamba “Soulja Boy’s gon’ get fucked up by a yellow ni
a, hris Brown’s yellow ass gon’ fuck Soulja Boy up.”


Lakini tukirudi pia upande wa pili wa jamaa anaitwa Adrien Broner, maarufu kwa ndondi na promoter wa ngumi, yeye amesema atajitolea kumfundisha Chris Brown, na ametaka pambano lisogezwe mbele mpaka tarehe 28 mwezi huu
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad