Bodi ya Mikopo Yacharuka..15% Kuanza Kukatwa Kwenye Basic Salary kwa Wadaiwa


Baada ya Rais kusaini Mabadiliko ya Sheria, 15% ya Bodi ya Mikopo kuanza kukatwa kwenye mshahara ghafi(basic) kuanzia mwezi huu.

Aidha taarifa hiyo ya Bodi ya Mikopo imebainisha kuwa ulipaji huo unapaswa kufanywa kwa wakati kwani kuchelewesha malipo hayo kutapelekea kutakuwa na adhabu(Penalty) ya asilimia 100.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad